ISO 216

From Wikipedia, the free encyclopedia

ISO 216
Remove ads

Maandishi madogo

Thumb
Ugawaji wa karatasi ya ukubwa A0 hadi A9

ISO 216 ni orodha ya vipimo sanifu iliyotolewa na Shirika la Kimataifa la Usanifishaji (ISO) kwa ajili ya fomati za karatasi. Orodha hii inafafanua fomati za karatasi za aina "A" na "B" pamoja na A4 ambayo ni ukubwa unaotumiwa zaidi duniani. Zinatumiwa kote duniani isipokuwa Marekani bado wanatumia fomati tofauti.

Fomati zote za ISO 216 (na vipimo vya kuambatana nayo ISO 217 na ISO 269) vinafuata uhusiano wa 1: kati ya upande mrefu na upande mfupi. Faida yake ni ukikunja karatasi hizi kwa nusu yake, hata sehemu hizi zitakuwa tena na uhusiano huohuo baina ya upande ndefu na fupi. Pia eneo la kila fomati ni nusu ya eneo la fomati kubwa zaidi.

Fomati ya kimataifa ya ISO 216 inafuata utaratibu uliofafanuliwa nchini Ujerumani tangu mwaka 1922 kwa jina la DIN 476.

Remove ads

Vipimo vya karatasi za fomati za A na B chini ya ISO 216 na C chini ya ISO 269

Maelezo zaidi Fomati za A, Fomati za B ...
Remove ads

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads