Eneo bunge la Ikolomani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Eneo bunge la Ikolomani ni jimbo la uchaguzi nchini Kenya. Ni moja kati ya majimbo kumi na mawili ya uchaguzi katika kaunti ya Kakamega.
Remove ads
Historia
Jimbo hili lilianzishwa wakati wa uchaguzi wa 1963.
Wabunge
Remove ads
Wodi
Jimbo hili lina Wodi tatu za Kupiga Kura. Wodi hizi zote huwachagua madiwani kutoka Eneo la Udiwani la Kakamega County.
Tazama Pia
- Bony Khalwale
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads