Ishirini
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Ishirini (kutoka neno la Kiarabu) ni namba inayoandikwa 20 kwa tarakimu za kawaida na XX kwa zile za Kirumi.
Ni namba asilia inayofuata 19 na kutangulia 21.
Vigawo vyake vya namba tasa ni: 2 x 2 x 5.
Matumizi
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads