Jeremy Renner
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Jeremy Lee Renner (amezaliwa tar. 7 Januari 1971) ni mwigizaji wa filamu na vilevile mwanamuziki kutoka nchini Marekani. Renner ameonekana kwenye filamu katika kipindi cha miaka ya 2000, hasa katika nyusika za usaidizi, kama vile kwenye Dahmer (2002), S.W.A.T. (2003), Neo Ned (2005), na 28 Weeks Later (2007).
Remove ads
Hatimaye akaja kuwa maarufu na ufahamiko wa haja kwa kucheza nyusika kadhaa katika filamu ya The Hurt Locker (2009), The Bourne Legacy, na The Avengers (2012). Alizapata kuchaguliwa kama Mwigizaji Bora katika Tuzo za Academy Award kwa uhusika wake wa mwaka wa 2009 kwenye filamu iliyoshinda tuzo hizo The Hurt Locker. Mwaka uliofuata kaonekana kwenye mafilamu makubwakubwa kama vile The Town.
Remove ads
Marejeo
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads