Jeremy Renner

From Wikipedia, the free encyclopedia

Jeremy Renner
Remove ads

Jeremy Lee Renner (amezaliwa tar. 7 Januari 1971) ni mwigizaji wa filamu na vilevile mwanamuziki kutoka nchini Marekani. Renner ameonekana kwenye filamu katika kipindi cha miaka ya 2000, hasa katika nyusika za usaidizi, kama vile kwenye Dahmer (2002), S.W.A.T. (2003), Neo Ned (2005), na 28 Weeks Later (2007).

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Kazi yake ...
Remove ads

Hatimaye akaja kuwa maarufu na ufahamiko wa haja kwa kucheza nyusika kadhaa katika filamu ya The Hurt Locker (2009), The Bourne Legacy, na The Avengers (2012). Alizapata kuchaguliwa kama Mwigizaji Bora katika Tuzo za Academy Award kwa uhusika wake wa mwaka wa 2009 kwenye filamu iliyoshinda tuzo hizo The Hurt Locker. Mwaka uliofuata kaonekana kwenye mafilamu makubwakubwa kama vile The Town.

Remove ads

Marejeo

Loading content...

Viungo vya Nje

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads