Jesé

Mchezaji wa soka wa nchini Hispania From Wikipedia, the free encyclopedia

Jesé
Remove ads

Jese Rodríguez Ruiz (matamshi ya Kihispania: [xese roðɾiɣeθ rwiθ]; anajulikana kama Jesé Rodríguez au kama Jesé tu; alizaliwa 26 Februari 1993) ni mchezaji wa soka wa Hispania ambaye anacheza kama mchezaji wa mbele wa Real Betis, kwa mkopo kutoka Paris Saint-Germain.

Thumb
Mchezaji wa mpira wa miguu, Jesé.

Mchezaji huyu alikuwa mchezaji wa klabu ya Real Madrid mwaka 2011 hadi 2016.

Viungo vya nje

Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jesé kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads