João Alves de Assis Silva

From Wikipedia, the free encyclopedia

João Alves de Assis Silva
Remove ads

João Alves de Assis Silva (, alizaliwa 20 Machi 1987) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa Brazil. Aliwahi kucheza timu ya taifa ya Brazil.

Thumb

Jô ameichezea timu ya taifa ya Brazil tangu mwaka wa 2007. Jô alicheza Brazil katika mechi 20, akifunga mabao 5.[1]

Takwimu

[1]

Maelezo zaidi Timu ya Taifa ya Brazil, Mwaka ...

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads