John Enders

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

John Franklin Enders (10 Februari 1897 8 Septemba 1985) alikuwa daktari kutoka nchi ya Marekani. Hasa alichunguza virusi visababishavyo magonjwa mbalimbali. Mwaka wa 1954, pamoja na Frederick Robbins na Thomas Weller alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads