John Tengo Jabavu

Mhariri wa gazeti la Afrika Kusini la Xhosa (1859-1921) From Wikipedia, the free encyclopedia

John Tengo Jabavu
Remove ads

John Tengo Jabavu (11 Januari 1859 - 10 Septemba 1921) alikuwa mwandishi na mwanasiasa wa Afrika Kusini. Hasa aliandika kwa lugha ya Kixhosa. Kama William Gqoba, alikuwa mhariri wa gazeti la Isigidimi samaXhosa. Baadaye alikuwa mhariri wa kwanza wa gazeti la Imvo Zabantsundu. Alianzisha chuo cha Kiafrika kilichoitwa Fort Hare baadaye.

Thumb
John Tengo Jabavu na mwanawe Davidson Don Tengo, mnamo 1903

Angalia pia

Marejeo

  • Chapman, Michael. 2003. Southern African Literatures, University of Natal Press. ISBN 1-86914-028-1
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu John Tengo Jabavu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads