Jonglei (jimbo)

jimbo la Sudan Kusini From Wikipedia, the free encyclopedia

Jonglei (jimbo)
Remove ads

Jonglei State ni mojawapo kati ya majimbo 10 yanayounda Sudan Kusini. Jimbo la Jonglei lina wilaya tisa ambazo ni Bor, Akobo, Ayod, Uror, Duk, Nyirol, Pig, Twic na Fangak. Jimbo la Jonglei ni jimbo kubwa zaidi kwa eneo ni takriban 122,581;km2. ref name="ssnbs">"Statistical Yearbook for Southern Sudan 2010" (PDF). Southern Sudan Centre for Census, Statistics and Evaluation. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo (PDF) mnamo 2012-10-18. Iliwekwa mnamo 2012-06-01. {{cite web}}: More than one of |accessdate= na |access-date= specified (help); More than one of |archivedate= na |archive-date= specified (help); More than one of |archiveurl= na |archive-url= specified (help)</ref>

Ukweli wa haraka South Sudan, Makao makuu ...

pamoja na idadi kubwa ya watu kulingana na sensa ya mwaka 2008 iliyofanywa katika serikali ya Sudan Kusini 2005-2011 kwa kipindi cha pili cha uhuru. Mipaka ya jimbo ilibadilishwa tena kama matokeo ya makubaliano ya amani yaliyotiwa saini tarehe 22 Februari 2020.[1]

Katika karne ya 21, Jimbo la Jonglei limeathiriwa na mapigano ya kikabila ambayo UNMISS ilikadiria mnamo Mei 2012 yameathiri maisha ya watu zaidi ya 140,000, na imezidishwa sana na mzozo mpana wa Sudan Kusini tangu Desemba mwaka 2013.

Imegawanyika katika kaunti 14, lakini idadi inatarajiwa kufikia 17 hivi karibuni.

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads