Jopo la majaji
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Jopo la majaji ni kundi la watu walioapishwa na kuitishwa ili kutoa uamuzi, adhabu au hukumu isiyo na upendeleo (kutafuta ukweli juu ya swala fulani) lililowasilishwa rasmi kwao na mahakama. Majopo ya kisasa hupatikana katika mahakama ili kuchunguza hatia, au makosa, katika uhalifu.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya sheria bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Jopo la majaji kama historia yake au uhusiano wake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
![]() |
Makala hii kuhusu "Jopo la majaji" ni fupi mno. Inahitaji kupanuliwa mapema. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads