Julius Nyaisangah

From Wikipedia, the free encyclopedia

Julius Nyaisangah
Remove ads

Julius Nyaisangah (alifahamika zaidi kwa jina fupi kama Anko J; 1 Januari 1960 - 20 Oktoba 2013) alikuwa mtangazaji maarufu wa redio na televisheni kutoka nchini Tanzania.

'

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Amefariki ...

Awali alifanya kazi RTD, Radio One, na mwisho kabisa alikuwa mkurugenzi wa Abood Media Co. Limited. Nyaisangah alifariki dunia kwa tatizo la shinikizo la damu na kisukari mjini Morogoro, Tanzania. Ameacha mjane na watoto watatu.

Remove ads

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads