Kaizari Karoli V

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kaizari Karoli V
Remove ads

Karoli V (pia: Carlos I wa Hispania[1]; 24 Februari 1500 21 Septemba 1558) alikuwa Kaizari wa Dola Takatifu la Kiroma[2] kuanzia 1519 hadi kujiuzulu mwezi wa Septemba 1556.

Thumb
Kaizari Karoli V

Alimfuata babu yake, Maximilian I, na kufuatiwa na mdogo wake Ferdinand I.

Kwa jina la Carlos I alikuwa mfalme wa kwanza wa Hispania tangu mwaka 1516. Kwa kuwa nchi hiyo ilikuwa na makoloni mengi hasa barani Amerika, aliweza kusema, "Katika ufalme wangu jua halitui kamwe".

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads