Kaizari Karoli V
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Karoli V (pia: Carlos I wa Hispania[1]; 24 Februari 1500 – 21 Septemba 1558) alikuwa Kaizari wa Dola Takatifu la Kiroma[2] kuanzia 1519 hadi kujiuzulu mwezi wa Septemba 1556.

Alimfuata babu yake, Maximilian I, na kufuatiwa na mdogo wake Ferdinand I.
Kwa jina la Carlos I alikuwa mfalme wa kwanza wa Hispania tangu mwaka 1516. Kwa kuwa nchi hiyo ilikuwa na makoloni mengi hasa barani Amerika, aliweza kusema, "Katika ufalme wangu jua halitui kamwe".
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads