Khitini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Khitini
Remove ads

Khitini (ing. chitin, kutoka gir. χιτών khiton "ganda, kinga") ni dutu ngumu nusu angavu inayofanya kiunzi nje ya wadudu na arithropodi wengine.

Thumb
Kichwa na kifua cha kipepeo hufunkikwa kwa mabapa ya khitini ngumu; tumbo hufunkiwa kwa ganda nyembamba ya khitini ambayo ni laini kiasi. Mabwawa wake ni pia ngozi nyembamba zaidi ya khitini.
Thumb
Kila kinachonekana cha nzige ni khitini

Inapatikana pia katika kuta ya seli za fungi.

Kikemia ni aina ya polisakaridi yaani molekuli ndefu ya kabohidrati ya (C8H13O5N)n.


Remove ads

Marejeo

Loading content...

Other websites

Loading content...

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads