Kibangi-Me
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kibangi-Me ni lugha nchini Mali inayozungumzwa na Wadogon. Mwaka wa 2002 idadi ya wasemaji wa Kibangi-Me imehesabiwa kuwa watu 2000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kibangi-Me hakifanani na lugha nyingine kwa hiyo haiwezekani kusema iko katika kundi au familia gani ya lugha.
Viungo vya nje
- lugha ya Kibangi-Me kwenye Multitree
- makala za OLAC kuhusu Kibangi-Me Ilihifadhiwa 30 Septemba 2015 kwenye Wayback Machine.
- lugha ya Kibangi-Me katika Glottolog
- http://www.ethnologue.com/language/dba
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kibangi-Me kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads