Kibiao-Mon

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kibiao-Mon ni lugha ya Kihmong-Mien nchini Uchina inayozungumzwa na Wayao. Mwaka wa 1995 idadi ya wasemaji wa Kibiao-Mon imehesabiwa kuwa watu 20,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kibiao-Mon iko katika kundi la Kimieniki.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kibiao-Mon kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads