Kidigaro-Mishmi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kidigaro-Mishmi (pia Kidarang-Deng) ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Uhindi na Uchina inayozungumzwa na Wadigaro-Mishmi. Mwaka wa 2001 idadi ya wasemaji wa Kidigaro-Mishmi nchini Uhindi imehesabiwa kuwa watu 34,000. Pia kuna wasemaji 850 nchini Uchina. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kidigaro-Mishmi iko katika kundi lake lenyewe la Kidigaro.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kidigaro-Mishmi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads