Kifulani-Borgu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kifulani-Borgu ni lahaja ya Kifulani, kilicho lugha ya Kiniger-Kongo nchini Benin inayozungumzwa na Wafulani. Mwaka wa 2002 idadi ya wasemaji wa Kifulani-Borgu nchini Benin imehesabiwa kuwa watu 280,000. Pia kuna wasemaji nchini Togo na Nigeria. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kifulfulde-Borgu iko katika kundi la Kiatlantiki.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kifulani-Borgu kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads