Kigbe-Saxwe
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kigbe-Saxwe ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Benin inayozungumzwa na Wagbe. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kigbe-Saxwe imehesabiwa kuwa watu 6270. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kigbe-Saxwe iko katika kundi la Kikwa.
Viungo vya nje
- lugha ya Kisaxwe kwenye Multitree
- makala za OLAC kuhusu Kisaxwe Ilihifadhiwa 11 Februari 2015 kwenye Wayback Machine.
- lugha ya Kisaxwe katika Glottolog
- http://www.ethnologue.com/language/sxw
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kigbe-Saxwe kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads