Kigbe-Weme

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kigbe-Weme ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Benin inayozungumzwa na Wagbe. Mwaka wa 1991 idadi ya wasemaji wa Kigbe-Weme imehesabiwa kuwa watu 60,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kigbe-Weme iko katika kundi la Kikwa.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kigbe-Weme kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads