Kigbe-Xwla-Magharibi

Lugha From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kigbe-Xwla-Magharibi ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Benin na Togo inayozungumzwa na Wagbe. Mwaka wa 2002 idadi ya wasemaji wa Kigbe-Xwla-Magharibi nchini Benin imehesabiwa kuwa watu 50,000. Pia kuna wasemaji 21,000 nchini Togo. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kigbe-Xwla-Magharibi iko katika kundi la Kikwa.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kigbe-Xwla-Magharibi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads