Kihiligaynon

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kihiligaynon
Remove ads

Kihiligaynon ni lugha ya Kiaustronesia nchini Ufilipino inayozungumzwa na Wahiligaynon. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kihiligaynon imehesabiwa kuwa watu 5,770,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kihiligaynon iko katika kundi la Kifilipino.

Thumb

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kihiligaynon kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads