Kilis

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kilismap
Remove ads

Kilis ni mji uliopo kusini-katikati mwa nchi ya Uturuki katika mpaka wa nchi ya Syria. Huu ni mji mkuu wa Jimbo la Kilis. Kwa mujibus wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2000, mji ulikadiriwa kuwa na wakazi wapatao 70,000. Mji upo katika kimo cha mita 663 kutoka juu ya usawa wa bahari.

Thumb
Kilis
Thumb
Wilaya za Kilisi

Viungo vya Nje

36.7161°N 37.1150°E / 36.7161; 37.1150

Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kilis kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads