Kimisri
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kimisri ni lugha ya kale ya Misri. Kiliandikwa kwa kutumia hiroglifi.

Kilipoendelea kikaja kuwa lugha ya liturujia ya Kanisa la Misri ambayo inatumika hata leo katika ibada, ila si katika maisha.
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads