Kimisri

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kimisri
Remove ads

Kimisri ni lugha ya kale ya Misri. Kiliandikwa kwa kutumia hiroglifi.

Thumb
Kimisri kilivyoandikwa.

Kilipoendelea kikaja kuwa lugha ya liturujia ya Kanisa la Misri ambayo inatumika hata leo katika ibada, ila si katika maisha.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads