Kimoore

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kimoore (pia Kimossi) ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Burkina Faso inayozungumzwa hasa na Wamoore. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kimoore iko katika kundi la Kigur.

Idadi ya wasemaji wa Kimoore nchini imehesabiwa kuwa watu milioni 12, hasa Burkina Faso Pia kuna wasemaji nchini Togo, Mali, Niger, Ghana, Benin, Cote d'Ivoire na Senegal.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kimoore kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.


Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads