Kisoma diski

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kisoma diski
Remove ads

Kisoma diski ni kifaa cha kompyuta kinachotumia teknolojia ya leza kusoma au kuandika data kwenye diski za macho kama CD, DVD, na Blu-ray. Kwa Kiingereza, kifaa hiki hujulikana kama optical disc drive (ODD).

Thumb
Kisoma diski cha ndani cha CD-RW/DVD-ROM cha kompyuta
Thumb
Kisoma diski cha nje cha Apple kilichounganishwa kwa USB
Thumb
Kisoma diski cha ndani kinachoweza kutolewa cha Lenovo UltraBay aina ya slim
Thumb
Lenzi ya kisoma diski cha CD/DVD kwenye kompyuta mpakato ya Acer
Thumb
Lenzi za kisoma/kiandika cha Blu-ray katika kompyuta ya Sony Vaio E Series

Kuna aina kuu mbili za visoma diski:

  • Kisoma tu – vinaweza kusoma data lakini haviwezi kuandika, mfano: CD-ROM, DVD-ROM
  • Kisomaji na kiandika – kinaweza kusoma na pia kuandika data kwenye diski maalumu kama CD-R, DVD-R, au Blu-ray; mfano: CD-RW, DVD-RW, Blu-ray Writer

Visoma diski vilikuwa maarufu sana kuanzia miaka ya 1990 hadi mwanzoni mwa miaka ya 2010, lakini kwa sasa matumizi yake yamepungua kutokana na ujio wa USB, hifadhi ya wingu, na diski ya hali imara.

Remove ads

Tazama pia

Marejeo

Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads