Kitunguu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kitunguu (Allium cepa) ni aina ya tunguu la kulika ambalo hupandwa kila mahali pa dunia. Spishi A. cepa haitokei porini. Spishi za pori yenye nasaba ya karibu sana ni A. vavilovii na A. asarense.
Aina yenye rangi ya zambarau huitwa kitunguu maji. Aina hiyo hufikiriwa kutibu maradhi arobaini, ambayo miongoni mwao ni joto la mwili kwa ujumla na mbegu za uzazi zilizokuwa za moto.
Remove ads
Picha
- Maua
- Shamba la vitunguu
- Vitunguu
- Kitunguu kilichokatika juu chini
- Kitunguu kilichokatika kutoka upande mmoja hadi mwingine
![]() |
Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kitunguu kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads