Kosa
ukarasa wa maana wa Wikimedia From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kosa ni kitendo au hali ya kufanya jambo kinyume na lilivyotakiwa; kutofanya sawa au kwa usahihi. Linaweza kuwa uhalifu mdogo au mkubwa kwa kuvunja sheria au kanuni. Hapo katika maadili na hasa dini linaweza kuitwa dhambi. Linaweza kuwa pia kutofanikisha jambo kutokana na upungufu wa uelewa au makusudi.
| Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads