Krakov

From Wikipedia, the free encyclopedia

Krakov
Remove ads

Krakov (kwa lugha ya Kipolandi: Kraków, Kiingereza: Cracow, Kilatini: Cracovia) ni mji wa Polandi. Mji huo ulikuwa na watu 759,144 mwaka wa 2014.[1] [2] Krakov ilikuwa mji mkuu wa Polandi kuanzia mwaka wa 1038 hadi 1596.

Thumb
Krakov, Polandi
Ukweli wa haraka Nchi, - Wakazi kwa ujumla ...
Remove ads

Viungo vya nje

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads