Malai
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Malai (pia krimu kutoka Kiingereza: cream), ni mafuta yanayopatikana kiasili katika maziwa ya wanyama. Baada ya kukamua maziwa, malai hukusanyika kwenye uso wa maziwa kama utandu. Utandu huo hutolewa na kukusanywa.


Malai hutumiwa kutengeneza samli, siagi na jibini. Pia katika upishi na kutengeneza vyakula mbalimbali kama aisikrimu.
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads