Kumi na tano

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Kumi na tano ni namba inayoandikwa 15 kwa tarakimu za kawaida na XV kwa zile za Kirumi.

Ni namba asilia inayofuata 14 na kutangulia 16.

Vigawo vyake vya namba tasa ni: 3 x 5.

Matumizi

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads