Kusadikika
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kusadikika ni kitabu kilichoandikwa na mwandishi Shaaban Robert kutoka nchi ambayo sasa inaitwa Tanzania.
Kitabu kinaelezea nchi ya Kusadikika ambayo ipo angani, ikipakana na nchi zingine nyingi.
Kusadikika ni mojawapo ya kazi maarufu sana za mwandishi Shaaban Robert ambaye pengine anatajwa kama baba wa fasihi ya Kiswahili.
![]() |
Makala hii kuhusu kitabu fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kusadikika kama Mwandishi wake, hadithi au matoleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads