Labuan
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Labuan ni kisiwa kikuu cha funguvisiwa lenye jina hilohilo ambalo tangu mwaka 1984 limekuwa eneo la shirikisho katika nchi ya Malaysia.

Inapatikana kaskazini kwa kisiwa cha Borneo ambacho ni cha tatu duniani kwa ukubwa.
Wakazi ni 86,908 (2010); kati yao 76% ni Waislamu, 12.4% ni Wakristo, 9% Wabuddha n.k.
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads