Tiva

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tiva
Remove ads

Tiva ni ndege wakubwa kiasi wa jenasi Laniarius katika familia Malaconotidae. Wanatokea Afrika kusini kwa Sahara tu. Spishi nyingine ni nyeusi na nyeupe lakini nyingine zina rangi kali chini na pengine kwa utosi, kama nyekundu, machungwa na njano. Tiva wana domo nene lenye ncha kwa kulabu na mkia wao ni mrefu kiasi. Hula wadudu na vertebrata wadogo. Hulijenga tago lao kwa umbo wa kikombe mtini au kichakani na jike huyataga mayai 2-3.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads