Led Zeppelin

From Wikipedia, the free encyclopedia

Led Zeppelin
Remove ads


Led Zeppelin ni bendi ya muziki aina ya hard rock kutoka Uingereza iliyoanzishwa mwaka 1968. Iliundwa na Robert Plant (mwimbaji), Jimmy Page (gitaa), John Paul Jones (besi, kinanda) na John Bonham (ngoma).

Thumb
Kikundi cha muziki cha Led Zeppelin

Albamu

  1. Led Zeppelin (1969)
  2. Led Zeppelin II (1969)
  3. Led Zeppelin III (1970)
  4. Led Zeppelin IV (1971)
  5. Houses of the Holy (1973)
  6. Physical Graffiti (1975)
  7. Presence (1976)
  8. In Through the Out Door (1979)
  9. Mothership (2007)
Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Led Zeppelin kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads