Longyearbyen

From Wikipedia, the free encyclopedia

Longyearbyen
Remove ads

Longyearbyen ni makao makuu ya utawala wa Norwei kwenye visiwa vya Svalbard. Mji huu mdogo uko kwenye kisiwa cha Spitsbergen.

Thumb
Moja ya eneo lililopo ndani ya Longyearbyen
Thumb
Longyearbyen

Longyearbyen ni kati ya makazi ya kibinadamu ya kaskazini kabisa duniani. Kwa jumla kuna wakazi 1,800 wengi wao Wanorwei na wengine Warusi.

Mji ulianzishwa mnamo 1906 kama makazi ya wafanyakazi wa migodi ya makaa mawe.

Remove ads

Picha za Longyearbyen

Viungo Vya Nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Norwei bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Longyearbyen kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads