Bawa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Bawa
Remove ads

Bawa (pia: ubawa, ubele) ni kiungo cha mwili wa wanyama mbalimbali kinochawawezesha kuruka hewani.

Thumb
Mabawa ya bata-maji domo-fundo.

Kutokana na hilo, ni pia jina la sehemu ya ndege inayoiwezesha kuruka na kubaki angani.

Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Bawa kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads