Manase (babu)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Manase (kwa Kiebrania מְנַשֶּׁה, Menaše) alikuwa, kadiri ya Kitabu cha Mwanzo 41:50-52, mtoto wa kwanza wa Yosefu na Asenath, binti Potifera, kuhani wa On.
Manase alizaliwa nchini Misri kabla Yakobo Israeli na wanae hawajahamia huko kutoka Kanaani (Mwa 48:5).
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads