Manase (babu)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Manase (babu)
Remove ads

Manase (kwa Kiebrania מְנַשֶּׁה, Menaše) alikuwa, kadiri ya Kitabu cha Mwanzo 41:50-52, mtoto wa kwanza wa Yosefu na Asenath, binti Potifera, kuhani wa On.

Thumb
Yakobo akibariki Efraim na Manase.

Manase alizaliwa nchini Misri kabla Yakobo Israeli na wanae hawajahamia huko kutoka Kanaani (Mwa 48:5).

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads