Maramba

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Maramba ni kata ya Wilaya ya Mkinga katika Mkoa wa Tanga, Tanzania.

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 13,434 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 10,961 [2] waishio humo.

Katika kata hiyo shughuli kuu za kiuchumi ni kilimo cha riziki na biashara ndogondogo.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads