Mario Been

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mario Been
Remove ads

Mario Been (amezaliwa Rotterdam, Zuid-Holland, 11 Desemba 1963) ni kocha wa mpira wa miguu kutoka nchini Uholanzi, ambaye ndiye kocha wa klabu ya NEC Nijmegen tangu msimu wa mwaka 2006, alisaidia kurejea kwa klabu ya Excelsior Rotterdam kutoka katika ligi ya pili kuipandisha katika ligi kuu ya Uholanzi. Alipewa lakabu huko Uholanzi la Diego Maradona baada ya jina lake la kwanza.

Ukweli wa haraka Maelezo binafsi, Maelezo ya klabu ...

Yeye kama mchezaji wa mpira wa katikati, Been alizichezea klabu za Feyenoord Rotterdam, Pisa Calcio, Roda JC, Sc Heerenveen, FC Tirol Innsbruck, na Excelsior Rotterdam. Na aliichezea Timu ya Taifa ya Uholanzi kwa mechi moja. Been alicheza mechi yake ya mwisho tarehe 17 Septemba 1995 pindi HFC Haarlem iliifunga Excelsior (4-0).

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads