Martinus Veltman

From Wikipedia, the free encyclopedia

Martinus Veltman
Remove ads

Martinus Justinus Godefriedus Veltman (27 Juni 1931 - 2021) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya Uholanzi. Hasa alichunguza nadharia ya chembe za atomu.

Thumb
Thumb
Martinus Veltman

Mwaka wa 1999, pamoja na mwanafunzi wake Gerardus 't Hooft, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.

Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Martinus Veltman kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads