Masalia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Masalia
Remove ads

Masalia ni mabaki ya mwili au ya vitu vya mtu anayeheshimika hasa kwa msingi wa dini.

Thumb
Sanduku la kutunzia masalia, yakiwemo ya Mitume wa Yesu na watakatifu wengine.

Masalia ni muhimu hasa katika baadhi ya madhehebu ya dini, kama vile ya Uhindu, Ubuddha na Ukristo.

Katika dini hiyo ya mwisho, heshima kwa masalia ilianza na maiti ya wafiadini, na umuhimu wake ulifikia kilele chake katika Karne za Kati.

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Masalia katika fasihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads