Masalia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Masalia ni mabaki ya mwili au ya vitu vya mtu anayeheshimika hasa kwa msingi wa dini.

Masalia ni muhimu hasa katika baadhi ya madhehebu ya dini, kama vile ya Uhindu, Ubuddha na Ukristo.
Katika dini hiyo ya mwisho, heshima kwa masalia ilianza na maiti ya wafiadini, na umuhimu wake ulifikia kilele chake katika Karne za Kati.
Remove ads
Tanbihi
Marejeo
Masalia katika fasihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads