Mba

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Mba ni tatizo la ngozi ya kichwa kutokana na seli zilizokufa, pale ambapo zinabaki kwa wingi.

Sababu ziko mbalimbali, na hakuna tiba ya hakika.

Kwa kuwa ni tatizo linaloonekana wazi, mara nyingine linamuathiri mtu hata upande wa saikolojia.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads