Wilaya ya Mbeya

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wilaya ya Mbeya
Remove ads

Wilaya ya Mbeya ni wilaya mojawapo kati ya 7 za Mkoa wa Mbeya.

Thumb
Mahali pa Mbeya Vijijini (kijani cheusi) katika mkoa wa Mbeya kabla ya kumegwa ili kuanzisha Mkoa wa Songwe.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 254,897 [1]. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 371,259 [2].

Wakazi wengi zaidi wa wilaya hii ni Wasafwa na Wamalila.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads