Mchoro
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mchoro ni neno la Kiswahili ambalo linatokana na kitenzi kuchora.

Kwa lugha ya Kiingereza neno mchoro hujulikana kama picture, ambalo Waswahili wameligeuza na kuliandika picha, hivi jinsi walivyoliandika neno hili ndivyo wanavyolitamka. Hata hivyo picha inaweza kuwa na maana nyembamba zaidi, hasa ya picha zilizopigwa kwa kamera au chombo kingine cha kielektroniki.
Kumbe mchoro unadai mtu achore mwenyewe.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads