Meza
ukarasa wa maana wa Wikimedia From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Meza ni neno la kiswahili ambalo lina maana zaidi ya moja, Neno hili linaweza kumaanisha:
- Meza (samani) ni kifaa ambacho kina miguu mitatu au minne ambayo inashikilia sehemu ya juu na hutenganishwa na sehemu ya kukalia.
- meza (tendo) ni kitendo cha kupeleka au kuruhusu chakula kilichosagwa mdomoni kiingie tumboni.
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads