Mfonio

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mfonio
Remove ads

Mfonio ni aina ya nafaka yenye punje ndogo sana (fonio) unaopandwa katika sehemu za Afrika ya Magharibi. Kuna spishi mbili: mfonio mweupe na mfonio mweusi. Nafaka hii hupendwa katika maeneo makavu yenye mvua isiyotabirika, kwa sababu inakomaa ndani ya wiki 6-8 na fonio ni rutubishi sana.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Remove ads

Spishi

Kuna spishi nyingine huko Uhindi iliyo na mnasaba na mfonio ambayo inaitwa raishan (D. cruciata var. esculenta).

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads