Mgodi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mgodi
Remove ads

Mgodi ni sehemu au mahali ambapo madini huchimbwa. Mgodi unaweza ukawa wa almasi, dhahabu, mafuta, tanzanaiti, rubi n.k.

Thumb
Mgodi wa dhahabu kubwa kabisa duniani.
Thumb
Almasi maarufu kama "Great Star of Africa".

Faida

  • Hutupatia ajira
  • Hutupatia fedha zinazotokana na madini
  • Madini hukuza uchumi wa taifa
  • Madini hutumika kutengeneza vito vya thamani mfano mikufu, hereni n.k.
  • Hujenga mahusiano ya kibiashara
  • Umuhimu wa uchimbaji mgodikibiashara kwenye nchi yenye madini.
  • Husaidia kujenga kutegemeana kati ya nchi na kupunguza hatari ya kuyumba kwa uchumi na migogoro.
Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mgodi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads