Mia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mia
Remove ads

Mia (kutoka neno la Kiarabu) ni namba inayoandikwa 100 (moja sifuri sifuri) kwa tarakimu za kawaida , ila kwa namba za Kirumi tu (kutokana na neno la Kilatini centum, yaani mia moja).

Thumb
Dola 100 (Mia), fedha ya kimarekani iliyotolewa 1862

Ni namba asilia inayofuata 99 na kutangulia 101.

Vigawo vyake vya namba tasa ni: 2 x 2 x 5 x 5.

Ni mraba wa 10, hivyo inaweza kuandikwa 102.

Namba 100 ni msingi wa asilimia, 100% ikiwa kiwango kilichokamilika.

Remove ads

Matumizi

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads