Michael Smith

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Michael Smith (26 Aprili 19324 Oktoba 2000) alikuwa mwanakemia kutoka nchi ya Uingereza. Baadaye alihamia Kanada. Hasa alichunguza taaluma ya jenetiki na sifa za protini. Mwaka wa 1993, pamoja na Kary Mullis alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.

Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Michael Smith kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Thumb
Faili:Michaelsmith.jpg
Michael Smith
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads