Mikoa ya Guinea ya Ikweta

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mikoa ya Guinea ya Ikweta
Remove ads

Mikoa ya Guinea ya Ikweta inapatikana kwenye kanda mbili za nchi hiyo.

Mikoa mitatu ni sehemu za Kanda la Visiwa (Región Insular) linaloundwa na visiwa vya Bioko na Annobon.

Mikoa mitano ni sehemu za Kanda la Rio Muni ambayo ni eneo la bara, pamoja na visiwa vidogo vilivyopo karibu na pwani.

Maelezo zaidi Mkoa, Maelezo ...
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads